Activity Report

Riyama
Riyama
@riyamaally
Followers: 6,185,740Posts: 444Following: 5,246
#MISSCROWN 👸👑 Works With 92.1 @crownfmtz 👑 @crowntvtz 👑
View all posts from @riyamaally
Miaka mitano iliyopita Mwenyenzi Mungu alinijaalia watoto mapacha wa kiume, wakiwa ni wenye afya bora kabisa. Siku moja mama yao aliwabembeleza vzr na kwenda kuwalaza ndani kisha yeye kutoka nje kwenda kuwaandalia chakula. Baada ya mda kidogo alisikia mtoto mmoja akilia, akajua ameamka hivyo analia ili mamaye akambebe, lkn baada ya dk chache alisikia mtoto akilia kilio kisicho cha kawaida. Alilia kwanguvu sanaa na kilio cha uchungu sanaa. Ikabidi mama awahi ndani kwenda kutizama nini kinaendelea kwa mwanae, baada ya kufika mama alipata mashuko sana kwa alichokiona🥹 “NILIKUTA KIMBWA KIDOGO KINAMALIZIA KUUTAFUTA UUME WA MWANANGU WOOTEE, MWANANGU AMELIWA UUME WAKE MPK KORODANI” Hosp wamesema hakuna namna yyt ya kumuweka uume mwingine hivyo cha kumsaidia ni kumtoboa kitundu ili aweze kutolea hapo mkojo. “INANIBIDI NIKUBALIANE NA MAJIBU JAPO NAJIULIZA MWANANGU NDIO ATAKUA ANACHUCHUMAA KUKOJOA MIAKA YOOTE JAPO NI WAKIUME?” AKIKUA ATAISHIJE BILA UUME?” HATA MIMI KAMA MZAZI NAUMIA SANA. NIMEJARIBU KUUZA BAADHI YA VITU ILI NIPATE PESA ZA UPASUAJI WA MTOTO LKN SIKUFANIKIWA KUFIKA LENGO HIVYO IKANIBIDI NIINGIE MTAAN KUOMBA OMBA NA WANANGU, LKN PIA BADO SIJAFIKIA LEO, MSAMARIA MWEMA ALINIUNGANISHA NA WEWE NA KUNIAMBIA PALIPOBAKI UNAWEZA KUNISAIDIA, GHARAMA YA HOSP NI MILION SANA (7,000,000), MPK SASA MIMI NINA MIL 5,5 BADO MIL 1.5 MWANANGU ATIBIWE NAOMBA HURUMA YENU🙏🏾. 
Ndugu zangu msaada wa haraka unahitajika, hii kitu ni hatari sana na inatisha sanaa, nawaomba msaada wenu huyu mtoto akafanyiwe upasuaji, team yetu ya ushindi nawaomba sadaka zenu 500, 1000, 10,000, 30,000 tuziunganishe huyu mtoto atoke kwenye maumivu.

(#0715609319 tigo pesa) 
 (#0747300303 (m pesa) 
(#0683248908 (airtel) 
GLADY

LIPA NO #17575546 MIX BY YAS
100 1207
JE NA WEWE KAMA MİMİ ?MIMI KIUKWELI KABISA NAIPENDA HII SAUTI UKIWA NDANI YA NDEGE MASHALLAH MPAKA RAHA DAMWANI HONGERENI MAHARUSI IKAWE HARUSI NJEMA MOLA AWAJAALIE UZAO MWEMA MKAWE MFANO WA KUIGWA MKAZEEKE  PAMOJA MZIKANE AMIN 🙏🏽🤲🥰 
Acc @mcbaruti_
42 2572 83290
Tumeshusha mzigo wa Turkish turban Jumla 10,000 tuu
0687486164 watsap
Tuko Kariakoo mtaa wa Nyamwezi na Muhonda @sarah_collectioon
13 485
🪵 NAPITA FURNITURE
👉 Tunatengeneza na kuuza bidhaa bora za mbao zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani na ofisini.

✅ Meza
✅ Kabati
✅ Vitanda
✅ Viti na mengine mengi

💯 Ubora wa kudumu, bei nafuu, na kazi safi inayovutia!
📍 Tunapatikana kwa urahisi – wasiliana nasi sasa!

📞 +255 784 036 064
1 40 4172
🥸🤓🤔🤗🤬
14 778 71993
MASHALLAH UDUGU TUMEKUZA @rashidawanjara 
MWENYEZI MUNGU AMJALIE AJE KUA MTOTO MWEMA MWENYEZI KUFATA MISINGI YA IMANI YAKE AMIN HAPPY BELATED BIRTHDAY MY KING 👑 LEO HAPATOSHI KWA BINYAU YANİ LELELEEEEE 🔥 📌 #ZINGATIAMAOKOTO
12 1620
SHINDA NI MWALIMUU🙌🏾 ONENI HAWA WATOTO WANACHIMBA SHIMO LA CHOO WENYEWE SABB TUU CHOO CHAO KIMRJAA NA HAWANAPESA YA KULIPA MCHIMBAJI🥹🥹 NAWAOMBA NGUVU MOJA TUMALIZIE HIKI CHOO HAWA WATOTO WARUDI DARASANI. WACHIMBAJI WAMESEMA WATACHIMBA HILI SHIMO FUTI 18 KWA 180,000. NAWWOMBA SAPORT YENU.

(#0715609319 tigo pesa) 
 (#0747300303 (m pesa) 
(#0683248908 (airtel) 
GLADY

LIPA NO #17575546 MIX BY YAS
77 1079 88510
Biryani combo sinia, inakua na chipsi, biryani kuku,samaki, sambaro ,inapatikana  @fishNchips_24  @fishnchips_24 pekee
4 54 2984
SHINDA NI MWALIMUU🙌🏾 ONENI HAWA WATOTO WANACHIMBA SHIMO LA CHOO WENYEWE SABB TUU CHOO CHAO KIMRJAA NA HAWANAPESA YA KULIPA MCHIMBAJI🥹🥹 NAWAOMBA NGUVU MOJA TUMALIZIE HIKI CHOO HAWA WATOTO WARUDI DARASANI. WACHIMBAJI WAMESEMA WATACHIMBA HILI SHIMO FUTI 18 KWA 180,000. NAWWOMBA SAPORT YENU.

(#0715609319 tigo pesa) 
 (#0747300303 (m pesa) 
(#0683248908 (airtel) 
GLADY

LIPA NO #17575546 MIX BY YAS
3 236 20647
ISAKA ni mtoto wa miaka 13 tu ambaye ndoto zake zimekatishwa na ugumu wa maisha. Ndoto za ISAKA zilikua ni kusoma kwa bidii ili aje kua Mwanajeshi. Lkn mpk sasa isiaka haendi shule tena, amekua muokota makopo na mzoa taka 🥹🥹 hii yoote inatokana na umaskini unaoitafuna familia yake. Mama amepata tatizo la akili na baba aliondoka nyumban miezi kadhaa iliyopita kwa kisingizio za kwenda kutafuta maisha, lkn tangu aondoke hakuna mawasiliano yyt na familia mpk sasa. Watt wanataman kurudi shule lkn hawana uniform wala vifaa vya shule, wanataman kurudi shule lkn wakifikiria mama na mdogo wao hawana chakula wanaamua kuingia mtaani🥹 nani faraja ya hawa watoto? Nawaomba sisi tuwe faraja yao, TUWARUDISHE SHULE, TUWAHUDUMIA VYAKULA, TUWANUNULIE VITANDA NA MAGODORO WALALE PAZURI. 

(#0715609319 tigo pesa) 
 (#0747300303 (m pesa) 
(#0683248908 (airtel) 
GLADY

LIPA NO #17575546 MIX BY YAS
26 366 17151
Hata kama ndio maisha ya vijijin jmn unaweza kumlaza mwanao hapa? ( nimeuliza hili swali sabb nimeona
 coment za watu wanasema ni maisha ya kawaida) JE UNAWEZA KULALA HAPA NA WATT WAKO? NAOMBA TUFUNGUE ZOEZI LA VITANDA NA MAGODORO KWA AJILI YA HAWA WATOTO. KITANDA KIMOJA NI 250,000 na GODORO NI 250,000 NAWWOMBA VITANDA VIWILI NA MAGODORO MAWILI🙏🏾. NUIA SADAKA YAKO, HATA IWE 500, 2000, 10000 INUIE VZR, ISEMEE SHIDA ZAKO, ISEMEE MATAMANIO YAKO NA MALENGO YAKO KISHA WASAIDIE HAWA WATOTO WATABASAMU TENA🙏🏾

(#0715609319 tigo pesa) 
 (#0747300303 (m pesa) 
(#0683248908 (airtel) 
GLADY

LIPA NO #17575546 MIX BY YAS
10 167
HAHAHAHAHAHA 😆🙌🏾
23 451 31717