Activity Report

Kajala Masanja
Kajala Masanja
@kajalafrida
Followers: 8,068,311Posts: 2,295Following: 961
• Bookings ;cecymtalika@gmail.com
View all posts from @kajalafrida
We got the key to the city 😘
295 24075
may he accidentally say my name when he’s talking to other women.
amen 😂😜
259 30483
Neno Moja kwa Kubwa la maadui ELEN @kajalafrida umejua kutuachia Jua la Utosi🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ila Thomas 🙌🏾🙂‍↕️🙂‍↕️!!
Usikose muendelezo kesho 3:30 Usiku ndani ya @maishamagicbongo @dstvtanzania
#MMBJuakali
319 19725 542294
40 ZA MARIA ZIMETIMIA🙌🏾🙌🏾🙌🏾, DUUUH  ELEN  HATARI KWAKWELI…neno moja kwa kwa ELEN na THOMAS
Usikubali kupitwa aisee Jua liko utosini ndani ya @maishamagicbongo @dstvtanzania Saa 3:30 Usiku Jtano- Jmos.
1728 28515 634569
Leo ni siku ya kipekee kwa moyo wangu mtoto wangu wa kipekee ametimiza miaka 23 💛
Nimekuona ukikua kutoka kwenye mikono yangu hadi kuwa mwanamke mwenye msimamo, heshima, upendo na ndoto kubwa.
I may have given you life, but you gave my life purpose.
Wewe ni zawadi yangu kutoka kwa Mungu, baraka yangu ya kila siku.
Nakutazama sasa na najua huu ni mwanzo tu.
Mungu akulinde, akuinue, na akufungulie njia ambazo macho bado hayajaona.
Shine my love,dunia ni yako!
Mama anakupenda kuliko maneno
HAPPY BIRTHDAY ROHO 🎂
NAKUPENDA SANA❤️ @therealpaulahkajala
868 87572
Heee Kweli Kuna Muda Watu hubadilika uyu Thomas @senatormsungu Ni wakunikazia Mimi Kisa Huyo Hellen @kajalafrida 🤯🤦🏾‍♀️🥹🥹

Nimelia Sana on #JUAKALI👌🔥
891 3 831331
Karibu Ellen katika familia ya #MMBJuakali!! @kajalafrida 

Usikose kujione yatakayojiri leo saa 3:30 Usiku kupitia #DStv160 #maishamagicbongo 

🍻 to @safarilager_tanzania 🙌🏾
194 12563 188521
Niitieni Maria @elizabethmichaelofficial hapa mwambieni kubwa la maadui Ellen @kajalafrida nimeingia rasmi. Arobaini zake ninazo mkononi, Huku na huku jamani Enzo macho kwa macho na Aika nini kinaendelea kati yao? don’t miss juakali kwa maana jua ndo kwanzaaaaa la moto.🔥🔥🔥🔥🔥
Usikose juakali ndani ya 
@maishamagicbongo
@dstvtanzania
@safarilager_tanzania
1219 23034 607131
Mazoezi hunoga unapokua na nguo KALI, huwezi ‘kupata uvivu’ wakati viwalo unavyo tena kuanzia JUUU mpaka CHINI.

Karibu @justfitsportsgear upate vya KUPENDEZA navyo.

#justfit #justfitsportsgear #tanzania #daressalaam #arusha #puma #sportsstore
0 3 39544
Ladies!!! The Adidas stock is flying off the shelves! Come grab yours before they’re gone! 🏃‍♀️

Visit our stores daily from 9AM to 9PM and secure your style.

#justfit #justfitsportsgear #daressalaam #arusha #tanzania #AdidasStyle #LimitedStock #JustFit
0 3
Tunakupenda snaa @mbosso_ ❤️❤️❤️ Mungu akulinde
658 51028 571710
No leaks. No rashes. Just giggles thanks to @yammy_diaperstz 💙
265 35015 668880